Friday, July 13, 2012

TATIZO NI FURSA

Tatizo ni moja ya fursa , mjasiriamali anatakiwa kutambua.


Siku moja asubuh mwaka 1993 bwana Samueli J. Ezekiel alikwenda kwenye msiba wa rafiki yake,yeye pamoja na watu karibia elfu moja walikaa juani kwenye msiba huku wengi wao wakiwa wamesimama kwa zaidi ya masaa matano,katika muda huo ndio WAZO linamjia bwana SAMUEL EZEKIEL la kutatua tatizo hilo,WAZO la kuanzisha huduma ya kusaidia viti na makazi katika mikutano inayokusanya watu wengi.
Alianza na turubai moja na viti 50,alianza kwa kujaribu katika sherehe ya jirani yake na wazo lake likafanya kazi. Baada ya hapo akamweleza rafiki yake BENEDICT KIMWAGA kuunda PARTNERSHIP na kuanzisha Maezeki Venture,Ezekiel na Benedict walianza kw kuwekeza shilingi laki nane,mtaji huo ukawawezesha kununua turubai 5 na viti 250 na hapo Maezeki Venture ikaanza kufanya kazi.

Kufika mwaka 1999 Maezeki Venture ikawa kubwa na wakaifanyia mabadiliko ikawa Maezeki Company limited ikiaw na mtaji wa Tsh million 45.
Share:

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.