Tatizo ni moja ya fursa , mjasiriamali anatakiwa kutambua.
Siku moja asubuh mwaka 1993 bwana Samueli J. Ezekiel alikwenda kwenye msiba wa rafiki yake,yeye pamoja na watu karibia elfu moja walikaa juani kwenye msiba huku wengi wao wakiwa wamesimama kwa zaidi ya masaa matano,katika muda huo ndio WAZO linamjia bwana SAMUEL EZEKIEL la kutatua tatizo hilo,WAZO la kuanzisha huduma ya kusaidia viti na makazi katika mikutano inayokusanya watu wengi.
Alianza na turubai moja na viti 50,alianza kwa kujaribu katika sherehe ya jirani yake na wazo lake likafanya kazi. Baada ya hapo akamweleza rafiki yake BENEDICT KIMWAGA kuunda PARTNERSHIP na kuanzisha Maezeki Venture,Ezekiel na Benedict walianza kw kuwekeza shilingi laki nane,mtaji huo ukawawezesha kununua turubai 5 na viti 250 na hapo Maezeki Venture ikaanza kufanya kazi.
Kufika mwaka 1999 Maezeki Venture ikawa kubwa na wakaifanyia mabadiliko ikawa Maezeki Company limited ikiaw na mtaji wa Tsh million 45.
Siku moja asubuh mwaka 1993 bwana Samueli J. Ezekiel alikwenda kwenye msiba wa rafiki yake,yeye pamoja na watu karibia elfu moja walikaa juani kwenye msiba huku wengi wao wakiwa wamesimama kwa zaidi ya masaa matano,katika muda huo ndio WAZO linamjia bwana SAMUEL EZEKIEL la kutatua tatizo hilo,WAZO la kuanzisha huduma ya kusaidia viti na makazi katika mikutano inayokusanya watu wengi.
Alianza na turubai moja na viti 50,alianza kwa kujaribu katika sherehe ya jirani yake na wazo lake likafanya kazi. Baada ya hapo akamweleza rafiki yake BENEDICT KIMWAGA kuunda PARTNERSHIP na kuanzisha Maezeki Venture,Ezekiel na Benedict walianza kw kuwekeza shilingi laki nane,mtaji huo ukawawezesha kununua turubai 5 na viti 250 na hapo Maezeki Venture ikaanza kufanya kazi.
Kufika mwaka 1999 Maezeki Venture ikawa kubwa na wakaifanyia mabadiliko ikawa Maezeki Company limited ikiaw na mtaji wa Tsh million 45.