Friday, July 19, 2013
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU DAWA AINA YA 'DICLOFENAC' ILIYODAIWA KUWA NA MDHARA MWILINI.
1.Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ina jukumu la kulinda na kudumisha afya ya jamii kwa kuhakiki ubora, usalama na ufanisi wa vyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba.
2. Hivi karibuni, TFDA imepokea taarifa ya kuwepo kwa hofu juu ya usalama wa dawa aina ya Diclofenac kupitia mitandao ya simu na vyombo vya habari. Kufuatia taarifa hiyo, TFDA inapenda kutoa ufafanuzi kama ifuatavyo:
magonjwa mbalimbali. Magonjwa hayo ni pamoja na magonjwa ya viungo, mifupa, uvimbe wa fizi na maumivu ya kichwa.
b. Mamlaka imesajili dawa ya Diclofenac kutoka makampuni mbalimbali ndani na nje ya nchi baada ya kutathmini ubora, usalama na ufanisi wake. Hata hivyo Diclofenac, kama ilivyo kwa dawa nyingine, ina madhara yanayofahamika. Kwa baadhi ya wagonjwa Diclofenac inaweza kusababisha vidonda vya tumbo, kuumwa kichwa, kuharisha, kutapika na kuwashwa mwili.
c. Pamoja na madhara yaliyoainishwa hapo juu, hivi karibuni imetolewa taarifa na Mamlaka ya udhibiti wa dawa ya nchi za Umoja wa Ulaya (European Medicines Agency) kwamba watu wenye matatizo ya moyo na shinikizo la damu, kisukari, waliowahi kupata kiharusi, wenye lehemu (cholesterol) nyingi kwenye damu, mshituko wa moyo na wanaovuta sigara wanaweza kupata matatizo kwenye moyo na mfumo wa damu ikiwa watatumia Diclofenac kwa kiwango kikubwa na kwa muda mrefu.
3. Kufuatia taarifa hiyo, TFDA inaendelea kufuatilia madhara yatokanayo na dawa hii kwa kushirikiana na taasisi nyingine za kitaalam ndani na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na Shirika la Afya Duniani (WHO). Aidha, tunawakumbusha watoa huduma za afya kutoa taarifa za madhara yatokanayo na matumizi ya dawa kwa kujaza fomu maalum zinazopatikana katika vituo vyote vya afya nchini.
4. Mamlaka inasha+uri watoa huduma za afya nchini na wagonjwa kuchukua tahadhari za madhara haya hasa kwa watu wenye magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, kisukari, wenye lehemu nyingi kwenye damu na wanaovuta sigara ikiwa ni pamoja na kutumia dawa mbadala.
5. Vilevile wananchi wanashauriwa kuepuka matumizi holela ya dawa bila kupata ushauri wa kitaalam ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza.
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) – Makao Makuu
S. L. P 77150
Dar-es-Salaam
Tanzania
Simu: +255 22 2450751
+255 22 2450512
Barua pepe: info@tfda.or.tz
NAMSIHI JANUARY MAKAMBA AACHE SIASA KATIKA SUALA LA KODI YA UMILIKI WA KADI ZA SIMU - MNYIKA
Kwa mliotaka
msimamo wangu juu ya kauli ilinukuliwa jana tarehe 18 Julai 2013 na Gazeti la
Majira kwamba Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January
Makamba kwamba “Mnyika anaangalia upepo unakoelekea, akiona watu wanalalamika
ndipo anaongea namsihi aache kufanya siasa katika jambo hili”, naomba kutumia
mtandao huu kutoa majibu ya ujumla kwa maswali na masuala yote kama ifuatavyo:
Nieleze
kwamba sitaacha kufanya siasa kwenye jambo hili mpaka kodi hiyo itakapofutwa
kuwawezesha wananchi wa kipato cha chini kubaki na fedha walau kidogo kwa
maendeleo.
Sitaacha
kufanya siasa kwa sababu ndio kazi yangu ambayo wananchi walinichagua kuifanya
ya kuwawakilisha na kuisimamia Serikali ambayo yeye Makamba ni sehemu yake.
Sitaacha kufanya siasa kwa sababu Mwalimu Nyerere alisema ili nchi yetu
iendelee inahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.
Wanamuziki 8 wa Marekani wenye majina ambao wameenda shule. (shule muhimu hata kama una kipaji cha usanii, zingatia)
1. Christopher
‘Ludacris’ Bridgesis (GA State University, Music Management)
2. Dwayne
Michael Carter Jr. aka Lil Wayne (University of Houston, Political Science)
3. Common
(Florida A&M University, Business Administration)
4. 2 Chainz
(Alabama State University, Music)
5. David
Banner (Southern University in Louisiana, Business Administration. University
of Maryland, Masters degree in Education)
6. Jermaine
Cole a.k.a J. Cole (St. John’ University, New York. Graduated with top honors)
7. Talib
Kweli (New York University, Theatre Arts)
8. Sean
Combs a.k.a P. Diddy or Puff Daddy (Howard University, Music).
source masanja@fb
TUSIPENDE KUJENGA CHUKI KWA KUWA TUNATOFAUTIANA KIMITAZAMO,KIHSIA,KIFIKRA,KITABIA!
KATIKA maisha yetu bila shaka tuna watu wengi au wachache
ambao toka moyoni mwetu tunawachukia na pengine tamaa yetu ni kuona wanapatwa
na mabaya kila siku. Miongoni mwao ni watoto, wazazi,waume, wake na ndugu zetu.
Pamoja na kuwepo kwa chuki ya asili ambayo nayo hufanya kazi kwenye maisha ya mwanadamu, lakini wengi wetu tuna chuki zinazotokana na orodha ya mabaya tuliyowahesabia wenzetu.
Mume anaweza kuwa na orodha ndefu ya matendo machafu ya mkewe tangu walipooana miaka saba iliyopita, ambapo kila siku anapomtazama tu huwa kama anatazama CD ya matukio yaliyopita na kuifanya chuki yake kukuwa kila siku.
Kwa bahati mbaya, wanadamu wengi wako hai kwenye mabaya, uwezo wao wa kukumbuka makosa ni mkubwa zaidi kuliko wema wanaofanyiwa. Tabia hii inatokana na ukweli kwamba, akili zina tabia ya kukosoa muonekano na taarifa ya vitu, lengo ni kuweka ulinganifu wa jinsi mtu anavyojitambua.
Pamoja na kuwepo kwa chuki ya asili ambayo nayo hufanya kazi kwenye maisha ya mwanadamu, lakini wengi wetu tuna chuki zinazotokana na orodha ya mabaya tuliyowahesabia wenzetu.
Mume anaweza kuwa na orodha ndefu ya matendo machafu ya mkewe tangu walipooana miaka saba iliyopita, ambapo kila siku anapomtazama tu huwa kama anatazama CD ya matukio yaliyopita na kuifanya chuki yake kukuwa kila siku.
Kwa bahati mbaya, wanadamu wengi wako hai kwenye mabaya, uwezo wao wa kukumbuka makosa ni mkubwa zaidi kuliko wema wanaofanyiwa. Tabia hii inatokana na ukweli kwamba, akili zina tabia ya kukosoa muonekano na taarifa ya vitu, lengo ni kuweka ulinganifu wa jinsi mtu anavyojitambua.
HEART TOUCHING STORY
I saw Amos in 1998 when i had left
campus. I was workingin a supermarket in our local town.
At first i was not attracted to him
but he was a kind of tall,Kind, gentle and mid sized youngman. Indeed he
washandsome and sooner or later, i felt attracted to him.Our first days were
good and he gave me everything ineeded.
He supported with my little salary
though he was also notearning very much money and could provide me with
rent,clothing and many times he gave me food.
One day, we were going out, he came
picked me and wewent to the nearby resort. We enjoyed and he saw metalking to a
boy who was my ex boyfriend outside the hotel,when i saw him watching me i felt
so guilty and fearedapproaching him.
But when i approached him, he
smiled at me and pretendedas if it was ok. I wondered what a kind of a man he
was theone who smiled in every situation.
HEART TOUCHING STORY
A very poor man lived with his wife.
One day, his wife, who had very long hair asked him to buy her a
comb for her hair to grow well and to be well-groomed.
The man felt very sorry and said no. He explained that he did not
even have enough money to fix the strap of his watch he had just broken.
She did not insist on her request.
The man went to work and passed by a watch shop, sold his damaged
watch at a low price and went to buy a comb for his wife.
He came home in the evening with the comb in his hand ready to
give to his wife.
He was surprised when he saw his wife with a very short hair cut.
She had sold her hair and was holding a new watch band.
Tears flowed simultaneously from their eyes, not for the futility
of their actions, but for the reciprocity of their love.
MORAL: To love is nothing, to be loved is something but to love
and to be loved by the one you love,that is EVERYTHING. Never take love
for granted
NI NAMNA GANI TUNAWEZA KUFANYA YASIYOWEZEKENA
Ninatumaini ni mzima wa
afya njema,karibu na nakupongeza kwa kuitembelea FARAJA MMASA BLOG,naamini mpaka mwisho wa
Mada hii utakuwa umepata kitu kipya na mtazamo
mpya wa maisha.
Kabla ya mwaka 1968
dunia nzima iliamini hakuna mtu anayeweza kuruka juu zaidi ya futi 28,lakini
ilipofika mwaka 1968 mtu mmoja aliyeitwa Bob Beamon alikataa kuamini hivyo ni
kitu kisichowezekana kuvunja na kuweja rekodi ya kuruka juuu zaidi ya futi
29,lakinibaada ya mazaoezi magumu na kujituma alivunja na kuweka rekodi ya kuruka
futi 29.Kabla ya hapo dunia nzima ilikuwa na imani hakuna atakayevunja rekodi
kabla ya Bob Beamon kuwanonyesha walikuwa wakiiamini kitu ambacho sio sahihi
kwasababu alikataa kuishi kwa kuamini haiwezekani.
Lakini kitu cha
kuchekesha na kustajaabisha kwa muda wa miaka 23 watu waliendelea kuishi na
kuamini hakuna atakayevunja rekodi hio ya kuruka futi 29 aliyoiweka Bob Beamon
na ndipo alipotekea Powell na kuruka futi 31.Lakini lazima ileweke pale mtu
anapovunja rekodi basi mamia ya watu watatokea na kuvunja rekodi hio.
HIVYI NDIVYO UNAVYOWEZA
KUFANYA YASIYOWEZEKANA
Imeeleweka kutoka kisa
hicho hapo juu kwamba mambo yote tunayoshindwa kufanya ni kutokana na VIKWAZO
YA KISAIKOLOJIA ZAIDI.Pale mtu anapoamini kitu fulani anaweza kufanya basi hata
kama hicho kitu hakiwezekani mtu huyo anaweza kukifanya hicho kitu,ni tatizo
zaidi la kisaikolojia linalofanya watu kushindwa kufanya mambo
yasiyowezekana.Hata wewe hapo ndugu msomaji mara nyingi unapowaambia watu
unataka kufanya jambo fulani ambalo watu wameshindwa kulifanya watakwambia
huwezi wengi walijaribu na walikuwa na uwezo wameshindwa ije kuwa
wewe.Ninaposeama ni vikwazo vya kisailojia namaanisha kwamba ni kwamba pale mtu
anapofikia kikomo cha kuamini hawezi kufanya jambo Fulani wakati anauwezo wa
kulifanya na kufanikiwa tena kwa mafanikio makubwa.
NJIA ZA KUFANYA
YASIYOWEZEKANA
1.Kwanza amini wote
waliofanya kabla kuna sehemu walikosea
Ili kuweza kufanya kitu
ambacho watu hawajawaji kukifanya au wamekifanya lakini wewe unataka kukifanya
kwa zaidi lazima ujiwekee akilini kuna kitu walikuwa hawajafanya kwa usahihi ni
WEWE tu unayeweza kulitimiza hilo.
2.Pili, lazima uje
vikwazo vyote ni vya kisaikolojia tu na sio kitu kingine
Vikwazo vyote ambavyo
sasa vinakuzuia kufanya kitu ulichodhamiria jua ni vikwazo vya kisaikolojia
tu,lakini pale utakapotambua ukweli tu na kukataa hichi kikwazo basi unaweza
kufanya lolote lile ulilolidhamiria.
3.Tatu.ni lazima ufanye
kitu( do something)
Kuamini kwamba unaweza
kufanya yasiyowezekana hio ni hatua ya kwanza ,huwezi kufanya yasiyowezekana
kwa kusema na kuamini tu, lakini ni lazima ufanye kitu ni lazima imani yako
uiweke katika utekelezaji kama tunavyoambiwa katika vitabu vyetu vitakatifu imani
pasipo matendo imekufa.Ngoja nikupe mfano mmoja wa bwana mmoja alikuwa anaitwa
JOE WE unaamini unaweza kufanya miujiza hata kama huna rasimali za kutosha?
.Kulikuwa na bwana mmoja anaitwa JOE alikuwa ana aibu sana na halikuwa hapendi
kuongea na watu asiowafahamu au ambao amekutana nao kwa mara ya kwanza,lakini
pamoja na hio JOE alikuwa na malengo makubwa siku moja atakuja kutoa
motivational speech mbele ya watu maelfu kwa maelfu,lakini alikuwa anajua ni
kitu ambacho hakiwezekani kwake,siku moja akaamua kuandaa speech na
kuiwakilisha mbele ya rafiki zake lakini mwanzo wa kutoa speech tu akaishiwa na
pumzi na kusahau karibia kila kitu alichokuwa amekisoma mwanzo mwishoni akaamua
kuacha kutoa speech,lakini JOE alikuwa sahihi kuacha kutoa speech kwasababu alijua
nafanya kitu ambacho hakiwezekani. Kwanini JOE alishindwa? Kwasababu ya mawazo
ya muda mfupi na mipango ya muda mfupi,kama
angekuwa na mipango ya muda mrefu na kwa rasilimali alizonazo baada ya
mwaka au miaka miwili basi angeweza kufikia lengo lake.
4.Acha kulia kama huna
rasilimali za kutosha
JOE na watu kama joe
huwa wanashindwa kufanya yale wanayoyataka kufanya kwasabu wananadharia za
uongo kuhusu maisha kwasababu wanafikiria unatakiwa uwe na rasilimali zote kwa kipindi wanachotaka kufanya yale waliyodhamiria
la sivyo basi wangeacha kufanya yale waliyoyapanga kuyafanya maishani,lakini
kwa kifupi kama unashindwa kufanya yale unayoyataka kuyafanya maishani
kwasababu huna ujuzi basi ni vizuri kuanza kujifunza huo ujuzi kwa kiwango
unachoweza taratibu mpka pale utakapofikia lengo kama joe alishindwa kwa sababu
kuna ujuzi alitakiwa
kujifunza kwanza .Ninaposema rasilimali naamanisha mambo mengi ikiwemo
ujuzi,fedha,muda na vinginevyo.
5.Usiwe na mawazo ya
muda mfupi.
Joe alitaka kufanya
yasiyowezekana ndani ya WIKI MOJA.Maisha sio rahisi hivyo kama una malengo
makubwa na kutaka kufanya yale yasiyowezekana.Kumbuka yasiyowezekana ndani ya
muda mfupi yanawezekana ndani ya muda mrefu,usiwaze kwa ukaribu na usiwe na
mipango ya muda mfupi.
Asante kwa kutembelea
blog
Wako
*************Tujitahidi
kutenda mema dunianai tunapita*************
FAHAMU Album Kumi Bora Wiki Hii Ndio Hizi
1] Jay Z - Magna Carta... Holy Grail
2] Ciara – Ciara
3] J Cole - Born Sinner
4] Florida Georgia Line - Here's To The Good Times
5] Imagien Dragons - Night Visions
6] Kanye West - Yeezus
7] Wale - The Gifted
8] Skylar Gray - Don't Look Down
9] Daft Punk - Random Access Memories
10] Macklemore & Ryan Lewis - The Heist