Thursday, May 1, 2014

MBINU ZA KUONGEZA MAUZO KATIKA BIASHARA YAKO.


Karibu katika blog hii ,natumaini u mzima wa afya njema maana mungu  wetu anaendelea kutupigania.Leo nilitaka kuongelea mada hii ya kuongeza mauzo katika biashara,kama tunavyojua moyo wa biashara ni mauzo,kama hakuna mauzo basi hakuna biashara.Kabla sijaanza kulielezea zaidi mada hii kama ndio mara yako ya kwanza kusoma blog hii,basi pia mwenye blog hii pia ni mshauri katika mambo ya biashara ,pia katika maswala ya saikolojia na Afya ,kama unatatizo lolote basi unaweza kupiga simu au kutuma msg katika namba 0658494977 kwa ushauri zaidi.
Kama nilivyosema hapo mwanzo Mauzo ndio moyo wa biashara,kama hakuna mauzo hakuna biashara,kama ilivyo kwa mwanadamu bila Moyo hakuna Uhai ,hivyo hivyo kwenye biashara kama hakuna Mauzo basi hakuna Biashara,basi ni lazima kwa mfanyabiashara yoyote yule mara zote kusumbua akili yake namna gani anaweza kuongeza mauzo katika biashara yake,leo nitaongelea mambo ya msingi matatu katika kukuza mauzo katika biashara yako

Share:

MBINU ZA KUPUNGUA UZITO




Inaonekana kuwa watu wengi hatujui ni kiasi gani cha kalori za chakula tunachotakiwa kula kwa siku. Kuna umuhimu mkubwa kufahamu kuwa, tunatakiwa kula kiasi cha kalori sawa na kalori zinazotumiwa na miili yetu ili kudhibiti uzito na kujiepusha na unene.

Hata hivyo kuna mambo mengi yanayoathiri kiwango cha kalori kinachotakiwa kuliwa kwa siku kama vile jinsia, umri, uzito, urefu na aina ya kazi na shughuli za mwili. Lakini kabla hujaanza kusoma mada hii,kama umejaribu mara nyingi kupungua uzito imeshindikana au hupati matokeo unayotaka basi piga namba 0658494977 kwa ushauri na kupewa njia sahihi ya kupunguza uzito ambayo utaanza kuona matokeo ndani ya wiki moja
Share:

KUHUSU MMILIKI WA BLOG HII

My photo
Naitwa faraja Mmasa a.k.a Moa,Mkazi na mzaliwa wa Wilaya ya Gairo Morogoro.KARIBU KATIKA BLOG hii tuelimishane mambo mbalimbali.Inatupasa kuwa na ufahamu wa mambo mbalimbali ili tuweze kuyatawala Mazingira yetu .Kuwa na Mwanasheria au Mhasibu haimanishi unatikiwa kujua au kufuatilia maswala ya uhasibu na sheria tu.Mfano nyumba yako au ndoa yako hutaindesha kwa taaluma uliyonayo.Vile vile huwezi kuendesha ujasiliamali kwa mafanikio kwa shahada yako ya uhandisi.TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

UJUMBE WA LEO

MIUJIZA MINGI INAYOTOKEA KATIKA MAISHA IPO KATIKA MAWAZO,FIKRA,NA IMANI ALIYONAYO MWANADAMU HUSIKA

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

USIKOSE KIPINDI HOT JIJINI POWER CLUB ,SIBUKA REDIO 94.5 KILA SIKU SAA SABA MPAKA SAA KUMI

GAR AD2

GAR AD2

GARI ADVERT

GARI ADVERT

Castrol

Castrol
Powered by Blogger.