Karibu katika blog hii ,natumaini u mzima wa afya njema maana
mungu wetu anaendelea kutupigania.Leo
nilitaka kuongelea mada hii ya kuongeza mauzo katika biashara,kama tunavyojua
moyo wa biashara ni mauzo,kama hakuna mauzo basi hakuna biashara.Kabla sijaanza
kulielezea zaidi mada hii kama ndio mara yako ya kwanza kusoma blog hii,basi
pia mwenye blog hii pia ni mshauri katika mambo ya biashara ,pia katika maswala
ya saikolojia na Afya ,kama unatatizo lolote basi unaweza kupiga simu au kutuma
msg katika namba 0658494977 kwa ushauri zaidi.
Kama nilivyosema hapo mwanzo Mauzo ndio moyo wa biashara,kama
hakuna mauzo hakuna biashara,kama ilivyo kwa mwanadamu bila Moyo hakuna Uhai
,hivyo hivyo kwenye biashara kama hakuna Mauzo basi hakuna Biashara,basi ni
lazima kwa mfanyabiashara yoyote yule mara zote kusumbua akili yake namna gani
anaweza kuongeza mauzo katika biashara yake,leo nitaongelea mambo ya msingi matatu
katika kukuza mauzo katika biashara yako